yetu
mimi

HTML/JavaScript

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Integer posuere erat a ante.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Integer posuere erat a ante.

Claudia Wanjiru: Makovu yangu ndiyo urembo wangu, hayanizuii kuwa mwanamitindo




Claudia Wanjiru ni mwanamtindo mwenye makovu usoni. Makovu hayo aliyapata baada ya kunusurika mkasa wa moto akiwa mwanafunzi wa darasa la saba.
Kabla ya mkasa huo, Claudia alikuwa na ndoto ya kuwa mwanamitindo, ndoto ambayo amehakikisha ameitimiza licha ya kuwa na makovu usoni.
"Tulipokuwa kwenye hoteli tukiwekewa chakula, jiko la gesi lililipuka na mafuta yakanimwagikia usoni. Nilianza kukimbia nikitafuta maji".


Alichukuliwa kisha akapelekwa hospitalini. Alikuwa ameungua kwa asilimia kumi na nne usoni. Alikaa hospitalini kwa muda wa miezi mitatu. Hali hii ilifanya maisha yake kubadilika sana, hata kukosa marafiki.
"Baada ya kuungua, watoto ambao walikuwa wadogo kuniliko kwa umri, walikuwa wananiogopa, na wale ambao walikuwa wa rika langu, walikuwa wananicheka, wananitania. Nikiwa shuleni, nilikuwa napata barua za matusi na mwalimu akitupatia zoezi la kufanya kwa makundi, hakuna mtu alikuwa ananikubali tufanye naye pamoja," anasema.

Comments

Toast Header 5 mins ago
Some text inside the toast body